Wamefikia kwenye moja ya hoteli za mbugani bora zaidi duniani, Singita Serengeti Grumeti. Hoteli hizo zinazomilikiwa na wawekezaji wa Afrika Kusini, ni miongoni mwa hoteli zinazotoza gharama kubwa zaidi kwenye mbuga za wanyama barani Afrika.
Msanii Jux akiangalia wanyama
Madiko diko kwa sana......
Akipost picha ya Vanessa akiwa kwenye Jacuzzi, mbele kukiwa na glasi mbili za champagne, akifurahia mandhari ya mbuga hiyo, Jux ameandika: Day 1 at Sasakwa Lodge was nice but the queen arrived on day 2 so we had to upgrade for that better view Farufaru is almost as dreamy as her #Tanzania #Serengeti #Vacation.”
Tazama picha zaidi:
No comments:
Post a Comment