

Wamefikia kwenye moja ya hoteli za mbugani bora zaidi duniani, Singita Serengeti Grumeti. Hoteli hizo zinazomilikiwa na wawekezaji wa Afrika Kusini, ni miongoni mwa hoteli zinazotoza gharama kubwa zaidi kwenye mbuga za wanyama barani Afrika.
Wawili
hao wamefikia kwenye hoteli ya Faru Faru Lodge ambayo ni miongoni wa
himaya za Singita zilizo katikati kabisa mwa mbuga hiyo kiasi ambacho
wakati mwingine wageni huwezi kuwaona wanyama wakiwa wamejipumzisha
kwenye vyumba vyao.
Msanii Jux akiangalia wanyama

Madiko diko kwa sana......

Akipost picha ya Vanessa akiwa kwenye Jacuzzi, mbele kukiwa na glasi mbili za champagne, akifurahia mandhari ya mbuga hiyo, Jux ameandika: Day 1 at Sasakwa Lodge was nice but the queen arrived on day 2 so we had to upgrade for that better view Farufaru is almost as dreamy as her #Tanzania #Serengeti #Vacation.”
Naye
Vee kwenye picha hiyo hiyo aliyoiweka Instagram, aliandika: Reboot in
session #SheKing #OurSingita. Kwenye picha nyingine aliandika #Day 1 at
Faru Faru. Much needed vacay. #Safari #Tanzania #Serengeti #Africa
#UtaliiwaNdani #OurSingita.”Tazama picha zaidi:


Kwa upande wa Msanii Mrisho Mpoto, alipanda Mlima Mrefu kuliko wote Afrika, Kilimanjaro





No comments:
Post a Comment