Wednesday 25 May 2016

YAFAHAMU MAPOROMOKO YA KALAMBO/ KALAMBO WATERFALLS

Maporomoko ya Kalambo yanatokana na mto Kalambo ambao ni mpaka wa Tanzania na Zambia.
Maporomoko ya maji haya ukiachilia kuwa ni ya pili baada ya yale ya Tugela Afrika ya Kusini lakini pia ndiyo maporomoko pekee yanayogawa mpaka wa nchi mbili.
Maporomoko haya yapo katika kijiji cha Kapozwa Kata ya Kisumba, Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa.
Maporomoko haya yamekuwa yakionekana na kutangazwa kuwa yapo Zambia na hivyo kuiondoa Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zenye maporomoko yanayotambulika duniani.
Katika kijiji cha Kapozwa ambacho pia kilianzishwa kutokana na imani kuwa ukienda kuoga katika maporomoko hayo utapooza. Kwa kuambiwa hivyo wananchi wenyeji wa eneo hilo walipaita kijiji jina la kapozwa.
Kalambo Falls, waterfall, the second highest uninterrupted fall in Africa (after Tugela Falls, South Africa), located on the Kalambo River near the southeastern shore of Lake Tanganyika on the Tanzania-Zambia border. The 704-foot (215-metre) drop in the falls is only part of a 3,000-foot (900-metre) descent along a 6-mile (10-kilometre) section of the Kalambo River. In the abyss is the breeding ground of the rare, giant marabou stork. Primitive tools have been excavated from Kalambo Gorge and dated by radiocarbon from 300,000 bc.

No comments:

Post a Comment